Ibrahim mohammed hussein (6 Ergebnisse)

Autor
Mit der Detailsuche verfeinern

Optimieren Sie Ihre Suche

  • Bücher (6)

  • Neu (6)

bis

Benutzerdefinierte Preisspanne (EUR)

bis

  • Sprache: Englisch

    Verlag: LAP LAMBERT Academic Publishing, 2019

    6200247838 / 9786200247834

    • Softcover

    Anbieter: Revaluation Books, Exeter, Vereinigtes KönigreichRevaluation Books

    Verkäufer/-in mit 5 Sternen
    Verkäufer/-in kontaktieren

    Zustand: Neu

    EUR 29,17

    EUR 11,64 Versand 
    Versand von Vereinigtes Königreich nach USA

    Anzahl: 1 verfügbar

    Paperback. Zustand: Brand New. 52 pages. 8.66x5.91x0.12 inches. In Stock.

  • Sprache: Swahili

    Verlag: Lulu Press, 2024

    1445248964 / 9781445248967

    • Softcover

    Anbieter: PBShop.store US, Wood Dale, IL, USAPBShop.store US

    Verkäufer/-in mit 5 Sternen
    Verkäufer/-in kontaktieren

    Zustand: Neu

    EUR 27,01

     Versand gratis 
    Versand innerhalb von USA

    Anzahl: Mehr als 20 verfügbar

    PAP. Zustand: New. New Book. Shipped from UK. Established seller since 2000.

  • Sprache: Swahili

    Verlag: Lulu Press, 2024

    1445248964 / 9781445248967

    • Softcover

    Anbieter: PBShop.store UK, Fairford, GLOS, Vereinigtes KönigreichPBShop.store UK

    Verkäufer/-in mit 5 Sternen
    Verkäufer/-in kontaktieren

    Zustand: Neu

    EUR 25,34

    EUR 4,84 Versand 
    Versand von Vereinigtes Königreich nach USA

    Anzahl: Mehr als 20 verfügbar

    PAP. Zustand: New. New Book. Shipped from UK. Established seller since 2000.

  • Sprache: Englisch

    Verlag: LAP LAMBERT Academic Publishing, 2019

    6200247838 / 9786200247834

    • Softcover

    Anbieter: Revaluation Books, Exeter, Vereinigtes KönigreichRevaluation Books

    Verkäufer/-in mit 5 Sternen
    Verkäufer/-in kontaktieren

    Zustand: Neu

    EUR 43,94

    EUR 11,64 Versand 
    Versand von Vereinigtes Königreich nach USA

    Anzahl: 1 verfügbar

    Paperback. Zustand: Brand New. 52 pages. 8.66x5.91x0.12 inches. In Stock.

  • Sprache: Swahili

    Verlag: Lulu.com, 2024

    1445248964 / 9781445248967

    • Softcover

    Anbieter: Ria Christie Collections, Uxbridge, Vereinigtes KönigreichRia Christie Collections

    Verkäufer/-in mit 5 Sternen
    Verkäufer/-in kontaktieren

    Zustand: Neu

    EUR 25,39

    EUR 13,14 Versand 
    Versand von Vereinigtes Königreich nach USA

    Anzahl: Mehr als 20 verfügbar

    Zustand: New. In English.

  • Sprache: Swahili

    Verlag: Lulu Press Jul 2024, 2024

    1445248964 / 9781445248967

    • Softcover

    Anbieter: AHA-BUCH GmbH, Einbeck, DeutschlandAHA-BUCH GmbH

    Verkäufer/-in mit 5 Sternen
    Verkäufer/-in kontaktieren

    Zustand: Neu

    EUR 49,17

    EUR 30,50 Versand 
    Versand von Deutschland nach USA

    Anzahl: 2 verfügbar

    Taschenbuch. Zustand: Neu. Neuware - Kwa lugha nyepesi ya Kiswahili fasaha, Kiunguja, Ibrahim Mohammed Hussein, anasimuliya kwa uwazi na ujasiri mkubwa, yale yaliyomsibu baada ya kuuwawa Rais wa Kwanza wa iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi, Sheikh Abeid Amani Karume. Tukio hilo la siku ya Ijumaa, tarehe 7 Aprili 1972, liliigubika nchi katika giza zito na kuzusha hamkani ya nguo chanika. Maisha Visiwani yakawa sio shwari tena. Kamatakamata ikawa ndio kilio kilichosikisika mitaani. Mwandishi wa kitabu hichi nae pia akanaswa ndani ya mtego wa panya, ulioingiza waliokuwemo na wasiokuwemo. Kilichomponza ni u-Ahlil Barza wake na Baraza ya Majestic, iliyokuwa katikati ya Mji Mkuu wa Zanzibar, aliyokuwa akijipumzisha kwa soga na maskhara na ahlil barza wenzake. Mithili ya chozi jichoni, tone la wino wa kalamu ya mwandishi, linasononeka kwa kuyanukuu madhila yaliyomkumba na kupelekea kunyang'anywa utu wake na hadhi yake kama binadamu. Mwili wake, kama wa madhulumu wenzake, uligeuzwa kama ngoma kucharazwa kwa vyuma na magongo ya mipera na milimau. Maisha yakawa hayana stara. Utupu wake kama ule wa wenzake haukutafautishwa na wa mnyama. Wote walilazimishwa kufanya haja zote mbele ya hadhara wakati wengine wakisubiri zamu zao. Ladha na utamu wa lugha aliyoitumia mwandishi kuielezea kadhia yake, yenye kusisimua na kuhuzunisha sana, inamfanya msomaji kuwa na raghba ya kukisoma kitabu bila ya kusita. Kila ukurasa unamsogeza karibu na pazia zito lililogubikwa, kwa miaka nenda miaka rudi, na mengi nyuma yake yasiyoweza kutarajiwa na hata kufikirika katika mazingira ya maisha na malezi ya Kizanzibari. Mwenye kuifahamu Zanzibar iliyokuwa imejengeka katika misingi ya dini ya Kiislamu, Imani, Utu na Ubinaadamu atapigwa na bumbuwazi kuyasoma yaliyokuwa yakijiri nyuma ya lango kuu la Jela ya Kiinua Miguu, hususan upande ule maarufu wa Kwa Bamkwe, uliokuwa kama Milki moja ya mungu Mtu, ambae wafuasi wake nao wakijiona kama ndio kina Munkar na Nakir wa humo ndani. Majahil waliotakabar hadi kufikia mpaka kiongozi wao mkuu, Mandera, kuthubutu kuwaambia madhulumu wake kwamba huko nje Mungu ndiye mwenye kutowa rizki lakini kule ndani, kwenye milki yake, ni yeye mwenye kutowa rizki . Ndani ya Jumba la Maafa, mwandishi anampitisha msomaji wake katika kuta na vichochoro vya mateso yaliyokithiri na watesaji waliofurutu ada kwa ukatili wao, mithili ya vikosi thakili vilivyokuwa vikitajika duniani, Gestapo (Ujerumani ya Aldof Hitler) na Tonton Macoutes (Haiti).