Verlag: DL2A BULUU PUBLISHING, 2015
Anbieter: My Dead Aunt's Books, Hyattsville, MD, USA
Paperback. Zustand: GOOD. Pages are mostly clean, unmarked, and tight but someone started translating and only marked up the first page; light shelf and corner wear and mild creases on cover.
Sprache: Spanisch
Verlag: Mkuki na Nyota Publishers, 2019
ISBN 10: 998708379X ISBN 13: 9789987083794
Anbieter: Ria Christie Collections, Uxbridge, Vereinigtes Königreich
EUR 23,37
Anzahl: Mehr als 20 verfügbar
In den WarenkorbZustand: New. In.
EUR 30,40
Anzahl: Mehr als 20 verfügbar
In den WarenkorbZustand: New. Über den AutorrnrnAli Hilal ni mwandishi chipukizi aliyeibuka mitandaoni kwenye uandishi na hatimaye kuingia vitabuni. Ni mzaliwa wa Kisiwani Pemba, Zanzibar. Ni mwandishi anaeogelea bahari zote - Riwaya, hadithi fupi, ushairi na tamthilia.
Sprache: Englisch
Verlag: LAP LAMBERT Academic Publishing, 2013
ISBN 10: 3659490202 ISBN 13: 9783659490200
Anbieter: preigu, Osnabrück, Deutschland
Taschenbuch. Zustand: Neu. Advanced Bayesian Networks with Comparative Probability | A new approach to the theory of probability and its applications to aviation safety and intensive care units | Ali Hilal Ali | Taschenbuch | 280 S. | Englisch | 2013 | LAP LAMBERT Academic Publishing | EAN 9783659490200 | Verantwortliche Person für die EU: BoD - Books on Demand, In de Tarpen 42, 22848 Norderstedt, info[at]bod[dot]de | Anbieter: preigu.
Sprache: Spanisch
Verlag: African Books Collective Dez 2019, 2019
ISBN 10: 998708379X ISBN 13: 9789987083794
Anbieter: AHA-BUCH GmbH, Einbeck, Deutschland
Taschenbuch. Zustand: Neu. Neuware - Riwaya ya Mmeza Fupa ni riwaya iliyoshinda an kupewa tuzo ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka 2017. Katika tangazo la ushindi wa riwaya hii jopo la majaji lilitoa sifa zifuatazo: Si mno mtu kukutana na riwaya ya Kiswahili ambayo mwandishi wake amejidhihirisha kuwa ni mbuji wa lugha fasaha na ya kisanii, inayotiririka kitabia kwa hiari yake, na bila ya kuonesha dalili zozote kwamba imelazimishwa. Wahusika wake wote wamebuniwa kwa ustadi, na kupewa kazi muwafaka za kuziwakilisha tanzu na matabaka mbalimbali ya jamii - pamoja na mikinzano na mazingira yao ya kihistoria, ya kisiasa, ya kisaikolojia, ya kitamaduni, ya kimjini au ya kijijini. Licha ya kwamba matukio ya riwaya hii yanatokea katika kisiwa cha kubuni, maswala yanayojadiliwa humu ni miongoni mwa yale maswala sugu yanayoendelea kulisumbua bara la Afrika kisiasa, kijamii na kiuchumi. Riwaya hii inatudhihirishia mandhari mapya ya utanzu huu wa Fasihi ya Kiswahili.
hardcover. Zustand: Used-Very Good. Translation. Cloth, no dj. Minor shelf wear. Else a bright, clean copy.